102- Waathilah bin al-Asqaa´ ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si katika sisi yule asiyewahurumia wadogo wetu na akawatukuza wakubwa wetu.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy kupitia kwa Ibn Shihaab kutoka kwa Wahitlah ambaye hakusikia kutoka kwake.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/152)
- Imechapishwa: 02/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
102- Waathilah bin al-Asqaa´ ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si katika sisi yule asiyewahurumia wadogo wetu na akawatukuza wakubwa wetu.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy kupitia kwa Ibn Shihaab kutoka kwa Wahitlah ambaye hakusikia kutoka kwake.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/152)
Imechapishwa: 02/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-si-katika-sisi-yule-asiyewahurumia-wadogo-wetu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)