4- Anayotakiwa kusema wakati wa kumwingilia
Anatakiwa kusema yafuatayo wakati anapomwingilia mke wake:
بسم الله اللهم جنبنا الشيطان وجنب الشيطان ما رزقتنا
“Naanza kwa jina la Allaah! Ee nilinde na shaytwaan na Kilinde na shaytwaan kile utachoturuzuku.”
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusiana na hili:
“Endapo Allaah amewaandikia kupata mtoto basi kamwe shaytwana hatomdhuru.”[1]
[1] Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake (09/187) na waandishi wengine wa “as-Sunan” isipokuwa an-Nasaa´iy, katika “al-´Asharah” (01/79), ´Abdur-Razzaaq (06/193), at-Twabaraaniy (02/151/3) kupitia kwa Anas. Vilevile imepokelewa katika “al-Irwaa´-ul-Ghaliyl” (2012) kwa ukamilifu zaidi kuliko hapa.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 98
- Imechapishwa: 23/02/2018
4- Anayotakiwa kusema wakati wa kumwingilia
Anatakiwa kusema yafuatayo wakati anapomwingilia mke wake:
بسم الله اللهم جنبنا الشيطان وجنب الشيطان ما رزقتنا
“Naanza kwa jina la Allaah! Ee nilinde na shaytwaan na Kilinde na shaytwaan kile utachoturuzuku.”
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusiana na hili:
“Endapo Allaah amewaandikia kupata mtoto basi kamwe shaytwana hatomdhuru.”[1]
[1] Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake (09/187) na waandishi wengine wa “as-Sunan” isipokuwa an-Nasaa´iy, katika “al-´Asharah” (01/79), ´Abdur-Razzaaq (06/193), at-Twabaraaniy (02/151/3) kupitia kwa Anas. Vilevile imepokelewa katika “al-Irwaa´-ul-Ghaliyl” (2012) kwa ukamilifu zaidi kuliko hapa.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 98
Imechapishwa: 23/02/2018
https://firqatunnajia.com/06-adabu-ya-nne-ya-ndoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)