101- ´Ubaadah bin as-Saamitw amesimilia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si katika Ummah wangu yule asiyewatukuza wakubwa wetu, akawahurumia wadogo wetu na akawatambua wanachuoni wetu.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi nzuri, at-Twabaraaniy na al-Haakim aliyesema:
“Si katika sisi… “
[1] Nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/152)
- Imechapishwa: 02/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
101- ´Ubaadah bin as-Saamitw amesimilia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si katika Ummah wangu yule asiyewatukuza wakubwa wetu, akawahurumia wadogo wetu na akawatambua wanachuoni wetu.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi nzuri, at-Twabaraaniy na al-Haakim aliyesema:
“Si katika sisi… “
[1] Nzuri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/152)
Imechapishwa: 02/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-si-katika-ummah-wangu-yule-asiyewatukuza-wakubwa-wetu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)