Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Miongoni mwa ajabu ya maajabu na alama kubwa zenye kufahahamisha uwezo wa Mfalme mwenye kushinda ni misingi sita ambayo Allaah (Ta´ala) ameibainisha ubainifu wa wazi [kuwabainishia] watu wa kawaida wasiokuwa na elimu zaidi ya vile wanavyodhania wenye kudhania. Halafu baada ya haya wakakosea walimwengu wengi werevu na wenye akili isipokuwa wachache katika wachache.
MAELEZO
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) hutilia umuhimu vijitabu vifupivifupi ambavyo wanavifahamu watu wa kawaida na wanafunzi. Miongoni mwa vitabu hivyo ni kitabu hiki ”Sittati Usuwl ´Adhwiym”. Nayo ni ifuatayo:
1- Msigni wa kwanza: Kumtakasia Allaah nia na ubainifu wa kinyume chake ambacho ni shirki.
2- Msingi wa pili: Kukusanyika katika dini na makatazo ya kufarikiana humo.
3- Msingi wa tatu: Kuwasikiliza na kuwatii watawala.
4- Msingi wa nne: Ubainifu wa elimu na wanachuoni, Fiqh na Fuqahaa´ na wale wenye kujifananisha nao ilihali si katika wao.
5- Msingi wa tano: Ubainifu ni kina nani mawalii.
6- Msingi wa sita: Kurudi hoja tata zilizowekwa na shaytwaan katika kurudisha nyuma Qur-aan na Sunnah.
Misingi hii ni muhimu na inayostahiki kutiliwa umuhimu. Na sisi tunamwomba Allaah msaada katika kuifafanua na kuiwekea taaliki kwa yale ambayo Allaah atasahilisha.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Usuwl-is-Sittah, uk. 05-07
- Imechapishwa: 15/06/2021
Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Miongoni mwa ajabu ya maajabu na alama kubwa zenye kufahahamisha uwezo wa Mfalme mwenye kushinda ni misingi sita ambayo Allaah (Ta´ala) ameibainisha ubainifu wa wazi [kuwabainishia] watu wa kawaida wasiokuwa na elimu zaidi ya vile wanavyodhania wenye kudhania. Halafu baada ya haya wakakosea walimwengu wengi werevu na wenye akili isipokuwa wachache katika wachache.
MAELEZO
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) hutilia umuhimu vijitabu vifupivifupi ambavyo wanavifahamu watu wa kawaida na wanafunzi. Miongoni mwa vitabu hivyo ni kitabu hiki ”Sittati Usuwl ´Adhwiym”. Nayo ni ifuatayo:
1- Msigni wa kwanza: Kumtakasia Allaah nia na ubainifu wa kinyume chake ambacho ni shirki.
2- Msingi wa pili: Kukusanyika katika dini na makatazo ya kufarikiana humo.
3- Msingi wa tatu: Kuwasikiliza na kuwatii watawala.
4- Msingi wa nne: Ubainifu wa elimu na wanachuoni, Fiqh na Fuqahaa´ na wale wenye kujifananisha nao ilihali si katika wao.
5- Msingi wa tano: Ubainifu ni kina nani mawalii.
6- Msingi wa sita: Kurudi hoja tata zilizowekwa na shaytwaan katika kurudisha nyuma Qur-aan na Sunnah.
Misingi hii ni muhimu na inayostahiki kutiliwa umuhimu. Na sisi tunamwomba Allaah msaada katika kuifafanua na kuiwekea taaliki kwa yale ambayo Allaah atasahilisha.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Usuwl-is-Sittah, uk. 05-07
Imechapishwa: 15/06/2021
https://firqatunnajia.com/02-misingi-misita-iliyobainishwa-na-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)