153- Bakr bin Maa´iz amesema: Nilimsikia ´Abdullaah bin Zayd ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkojo usihifadhiwe katika chombo nyumbani. Malaika hawaingii ndani ya nyumba iliyohifadhi mkojo. Wala msikojoe mahali pa kuogea.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw” kwa cheni ya wapokezi nzuri pamoja na al-Haakim ambaye amesema:
“Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh.”
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/174)
- Imechapishwa: 12/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
153- Bakr bin Maa´iz amesema: Nilimsikia ´Abdullaah bin Zayd ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkojo usihifadhiwe katika chombo nyumbani. Malaika hawaingii ndani ya nyumba iliyohifadhi mkojo. Wala msikojoe mahali pa kuogea.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw” kwa cheni ya wapokezi nzuri pamoja na al-Haakim ambaye amesema:
“Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh.”
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/174)
Imechapishwa: 12/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-mkojo-usihifadhiwe-katika-chombo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)