Ahl-us-Sunnah – Sunnah ni njia aliokuwemo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika maneno yake, matendo yake na yale aliyoyakubali. Wameitwa Ahl-us-Sunnah kwa sababu ya kujinasibisha kwao na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pasi na maneno na madhehebu mengineyo tofauti na wanavofanya Ahl-ul-Bid´ah ambao wanajinasibisha katika Bid´ah na upotevu wao. Kama mfano wa Qadariyyah na Murji-ah. Wakati mwingine wanajinasibisha na yule kiongozi wao. Kama mfano wa Jahmiyyah. Wakati mwingine wanajinasibisha na matendo yao mabaya. Kama mfano wa Raafidhwah na Khawaarij.
Wal-Jamaa´ah – Mkusanyiko maana yake ya kilugha ni kundi la watu lililokusanyika. Makusudio hapa ni wale waliokusanyika juu ya haki iliothibiti katika Qur-aan na Sunnah. Nao si wengine ni Maswahabah na wale wenye kuwafuata kwa wema japokuwa watakuwa wachache. Hivyo ndivyo alivyosema Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh):
“al-Jamaa´ah (mkusanyiko) ni yale yenye kufikiana na haki hata kama mtu atakuwa mmoja. Wakati huo hapo wewe utakuwa ni mkusanyiko.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah, uk. 06
- Imechapishwa: 07/02/2018
Ahl-us-Sunnah – Sunnah ni njia aliokuwemo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika maneno yake, matendo yake na yale aliyoyakubali. Wameitwa Ahl-us-Sunnah kwa sababu ya kujinasibisha kwao na Sunnah ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pasi na maneno na madhehebu mengineyo tofauti na wanavofanya Ahl-ul-Bid´ah ambao wanajinasibisha katika Bid´ah na upotevu wao. Kama mfano wa Qadariyyah na Murji-ah. Wakati mwingine wanajinasibisha na yule kiongozi wao. Kama mfano wa Jahmiyyah. Wakati mwingine wanajinasibisha na matendo yao mabaya. Kama mfano wa Raafidhwah na Khawaarij.
Wal-Jamaa´ah – Mkusanyiko maana yake ya kilugha ni kundi la watu lililokusanyika. Makusudio hapa ni wale waliokusanyika juu ya haki iliothibiti katika Qur-aan na Sunnah. Nao si wengine ni Maswahabah na wale wenye kuwafuata kwa wema japokuwa watakuwa wachache. Hivyo ndivyo alivyosema Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh):
“al-Jamaa´ah (mkusanyiko) ni yale yenye kufikiana na haki hata kama mtu atakuwa mmoja. Wakati huo hapo wewe utakuwa ni mkusanyiko.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah, uk. 06
Imechapishwa: 07/02/2018
https://firqatunnajia.com/02-ahl-us-sunnah-wamejinasibisha-na-sunnah-za-mtume-tofauti-na-ahl-ul-bidah-wengineo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)