Zima simu wakati swalah

Swali: Ni ipi hukumu ya kutazama ni nani anayepiga simu halafu mtu akaitoa sauti au kuizima katika swalah?

Jibu: Ni sawa kuitoa sauti au kuizima. Ama kutazama ni nani anayepiga simu ni jambo linaloshughulisha.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-07-24_0.mp3
  • Imechapishwa: 07/06/2020