Swali: Mimi naishi katika mji wangu. Wakati wa mnasaba wa mwaka mpya serikali inanipa zawadi. Nikipewa zawadi hizi inafaa kwangu kuzipokea na kuzimiliki?
Jibu: Hapana. Usizipokee. Hutakiwi wala kula chakula kinachotengenezwa katika mnasaba wa Bid´ah. Kwa njia hiyo ina maana unawasapoti na unaridhia kitendo chao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
- Imechapishwa: 23/07/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)