Swali: Nusu moja ya Ramadhaan nitakuwa Saudia na nusu nyingine nitakuwa katika nchi yangu. Zakaat-ul-Fitwr nitaitoa lini?
Jibu: Ataitoa usiku wa kuamkia idi na kabla ya kwenda kuswali idi. Mahali popote; ni mamoja kama atakuwa Saudia au katika nchi yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=2vQdgZLzLuI
- Imechapishwa: 12/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)