Swali: Je, inajuzu kumpa zakaah ambaye anataka kuongeza mke wa pili?
Jibu: Kama anahitajia kuongeza mke wa pili, wa tatu na wa nne, Allaah ampe nguvu. Kama ni anahitajia kuoa wake wengi na hana uwezo, apewe zakaah. Kama si muhitaji, basi asipewe zakaah. Badala yake apewe michango mingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (81) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%B4%D8%B1%D8%AD%20%D9%81%D8%AA%D8%AD%20%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AC%D9%8A%D8%AF%20-24-07-1439%20%D9%87%D9%80.lite_.mp3
- Imechapishwa: 20/10/2018
Swali: Je, inajuzu kumpa zakaah ambaye anataka kuongeza mke wa pili?
Jibu: Kama anahitajia kuongeza mke wa pili, wa tatu na wa nne, Allaah ampe nguvu. Kama ni anahitajia kuoa wake wengi na hana uwezo, apewe zakaah. Kama si muhitaji, basi asipewe zakaah. Badala yake apewe michango mingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (81) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%B4%D8%B1%D8%AD%20%D9%81%D8%AA%D8%AD%20%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AC%D9%8A%D8%AF%20-24-07-1439%20%D9%87%D9%80.lite_.mp3
Imechapishwa: 20/10/2018
https://firqatunnajia.com/zakaah-kwa-ajili-ya-ukewenza/