Swali: Wapi ilichukuliwa katazo la wanawake kuyatembelea makaburi?
Jibu: Kutoka katika Hadiyth nyingine. Katika Hadith ya Ibn ‘Abbaas amesema:
“Allaah amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi na wale wenye kuyafanya ni mahali pa kuswalia na wanaoyawekea mataa.”[1]
Hadiyth ya Abu Hurayrah na Hadiyth ya Hassan bin Thaabit – zote zinaonyesha katazo la wanawake kuyatembelea makaburi.
[1] Abu Daawuud (3236), at-Tirmidhiy (320), an-Nasaa’iy (2043) na Ahmad (2030). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Silsilat-ul-Ahaadiyth adh-Dhwa´iyfah” (225).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28810/ما-دليل-نهي-النساء-عن-زيارة-القبور
- Imechapishwa: 25/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)