Swali: Ni ipi hukumu ya kumsomea maiti au yule anayetaka kukata roho Suurah “Yaa Siyn”?
Jibu: Yamepokelewa haya, lakini hata hivyo hayakuthibiti. Kumepokelewa:
“Wasomeeni maiti wenu “Yaa Siyn?”[1]
lakini haikuthibiti. Mtu anayetaka kukata roho anatakiwa kutamkishwa Shahaadah. Atapoitamka asiambiwe tena kutamka. Ikiwa baada ya hapo atatamka maneno, akumbushe kwa mara nyingine kutamka Shahaadah.
[1] Ahmad (4/257) na Abu Daawuud (3121).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket