Swali: Nilipomaliza kuoga kwa ajili ya kujitwaharisha nilitawadha kisha nikatoka bafuni na kuvaa nguo zangu. Je, kitendo changu ni sahihi? Nikimaanisha kwamba kufunika uchi ni sharti katika kusihi wudhuu´?
Jibu: Wudhuu´ ni sahihi. Kufunika uchi si sharti katika kusihi wudhuu´.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/101)
- Imechapishwa: 19/02/2026
Swali: Nilipomaliza kuoga kwa ajili ya kujitwaharisha nilitawadha kisha nikatoka bafuni na kuvaa nguo zangu. Je, kitendo changu ni sahihi? Nikimaanisha kwamba kufunika uchi ni sharti katika kusihi wudhuu´?
Jibu: Wudhuu´ ni sahihi. Kufunika uchi si sharti katika kusihi wudhuu´.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/101)
Imechapishwa: 19/02/2026
https://firqatunnajia.com/wudhuu-wa-aliyetawadha-akiwa-uchi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket