Swali: Imewekwa katika Shari´ah mtu kuleta Sujuud ya kushukuru (سجود الشكر) na ni lazima kuwa na wudhuu´?
Jibu: Ndio, ni swalah na hivyo ni sharti mtu awe na wudhuu´.
Sujuud ya kushukuu inaletwa wakati mtu amepata neema mpya au wakati janga limewaepuka waislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket