Swali 715: Vipi kuhusu vifaa vya kuua wadudu vinavyowapiga kwa mshtuko wa umeme?
Jibu: Hapana, bali wauliwe kwa dawa nyingine za kuulia wadudu zisizo na moto[1].
[1] Shaykh Ibn ´Uthaymiyn amesema katika kitabu chake kuhusu kuua kwa njia ya umeme: “Si kuua kwa moto. Dalili ya hili ni kwamba mwathiriwa wala nguo zao haziunguzwi. Bali wanauawa kwa kupigwa na umeme (mshituko wa umeme), ambao huganda damu na kusababisha kifo cha kudumu.” (Majmuu’-ul-Fatawa” (16/25))
Kuna nguvu katika maneno yake, lakini kuna upanuzi katika matumizi yake – na Allaah ndiye mjuzi zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 250
- Imechapishwa: 05/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 715: Vipi kuhusu vifaa vya kuua wadudu vinavyowapiga kwa mshtuko wa umeme?
Jibu: Hapana, bali wauliwe kwa dawa nyingine za kuulia wadudu zisizo na moto[1].
[1] Shaykh Ibn ´Uthaymiyn amesema katika kitabu chake kuhusu kuua kwa njia ya umeme: “Si kuua kwa moto. Dalili ya hili ni kwamba mwathiriwa wala nguo zao haziunguzwi. Bali wanauawa kwa kupigwa na umeme (mshituko wa umeme), ambao huganda damu na kusababisha kifo cha kudumu.” (Majmuu’-ul-Fatawa” (16/25))
Kuna nguvu katika maneno yake, lakini kuna upanuzi katika matumizi yake – na Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 250
Imechapishwa: 05/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/waue-wadudu-kwa-usiyo-moto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket