Swali: Kunaenezwa meseji zinazohusiana na kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na ndani yake mna yafuatayo: “Ninakuomba kutokana na Ukubwa wa Allaah uwatumie wengine.” Je, ni lazima kwangu kuituma?
Jibu: Hapana. Kitendo hichi hakina asli. Simu leo zinatumiwa kueneza Bid´ah, ima kwa kukusudia au pasi na kukusudia. Haijuzu kufanyia kazi yale yenye kuenezwa katika simu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
- Imechapishwa: 27/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)