572- Baba yangu aliulizwa kuhusu watu wenye kuchelewa swalah ya ijumaa. Akajibu:
”Ibn Mas´uud aliswali na ´Alqamah na al-Aswad.”
Bi maana aliswali nao swalah ya ijumaa.
573- Siku moja nilichelewa swalah ya ijumaa na hivyo tukaiswali kwa pamoja msikitini. Baada ya hapo nikamweleza hilo baba yangu ambapo akatabasamu na hakunikemea.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (2/406)
- Imechapishwa: 29/01/2021
572- Baba yangu aliulizwa kuhusu watu wenye kuchelewa swalah ya ijumaa. Akajibu:
”Ibn Mas´uud aliswali na ´Alqamah na al-Aswad.”
Bi maana aliswali nao swalah ya ijumaa.
573- Siku moja nilichelewa swalah ya ijumaa na hivyo tukaiswali kwa pamoja msikitini. Baada ya hapo nikamweleza hilo baba yangu ambapo akatabasamu na hakunikemea.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (2/406)
Imechapishwa: 29/01/2021
https://firqatunnajia.com/watu-wenye-kuchelewa-swalah-ya-ijumaa/