Baadhi ya waghafilikaji wanafikiria kuwa na ujuzi wa mambo ya kisasa (Fiqh-ul-Waaqi’) inahusiana na kujua ni barabara ngapi zipo Paris, Cairo na Marekani na kama hujui Jiografia basi wewe huelewi mambo ya kisasa.
Watu wajuzi kabisa wa mambo ya kisasa ni Ahl-us-Sunnah na khaswa Shaykh Ibn Baaz na Shaykh al-Albaaniy.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 110
- Imechapishwa: 19/04/2015
Baadhi ya waghafilikaji wanafikiria kuwa na ujuzi wa mambo ya kisasa (Fiqh-ul-Waaqi’) inahusiana na kujua ni barabara ngapi zipo Paris, Cairo na Marekani na kama hujui Jiografia basi wewe huelewi mambo ya kisasa.
Watu wajuzi kabisa wa mambo ya kisasa ni Ahl-us-Sunnah na khaswa Shaykh Ibn Baaz na Shaykh al-Albaaniy.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 110
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/watu-wajuzi-kabisa-wa-mambo-ya-kisasa/