Nilimwandikia Abu ´Abdillaah:
“Mtoto wa dada yangu amemposa msichana wa kaka yangu na mama yake hataki.” Akajibu: “Usifanye hivo.” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watakeni ushauri wanawake juu ya wasichana zao.”
Kuhusu ufukara, unapaswa kumuoza kwa hali yoyote. Ufukara na utajiri unatoka kwa Allaah.”[1]
Nikamuoza fukara huyo na sikuona isipokuwa kheri tupu.
[1] Abu Daawuud (2095). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “adh-Dhaw´iyfah” (3/677).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 83
- Imechapishwa: 16/03/2021
Nilimwandikia Abu ´Abdillaah:
“Mtoto wa dada yangu amemposa msichana wa kaka yangu na mama yake hataki.” Akajibu: “Usifanye hivo.” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watakeni ushauri wanawake juu ya wasichana zao.”
Kuhusu ufukara, unapaswa kumuoza kwa hali yoyote. Ufukara na utajiri unatoka kwa Allaah.”[1]
Nikamuoza fukara huyo na sikuona isipokuwa kheri tupu.
[1] Abu Daawuud (2095). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “adh-Dhaw´iyfah” (3/677).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 83
Imechapishwa: 16/03/2021
https://firqatunnajia.com/watakeni-ushauri-kina-mama-kabla-ya-ndoa/