Swali: Nina rafiki ambaye anafanya madhambi na anatumia baadhi ya madawa ya kulevya. Nataka kumleta katika darsa za kielimu, lakini kuna baadhi ya wanafunzi wamenambia kuwa darsa za kielimu hazisilihi kwa watu kama hawa na badala yake nimpeleke kwa watoa mawaidha. Je, waliosema ni sahihi?
Jibu: Mpeleke kwa watoa mawaidha na katika darsa. Fanya yote mawili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-1-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 17/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)