Swali: Je, wasia hutangulizwa kabla ya deni?
Jibu: Hapana, deni hutangulizwa kabla ya kila kitu. Allaah amesema:
مِن بَعْدِ وَصِيَّةٍ يُوصِي بِهَا أَوْ دَيْنٍ
”… baada ya kutoa wasia aliousia maiti au kulipa deni.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alihukumu kwamba deni linapaswa kulipwa kabla ya wasia.
[1] 04:11
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25387/هل-يجوز-تقديم-الوصية-على-الدين
- Imechapishwa: 08/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)