Wanawake wanatakiwa kutolewa nje katika swalah ya ´iyd, jambo ambalo tayari tumeshatangulia kulibainisha. Wanatakiwa kuelekezewa mawaidha maalum ndani ya Khutbah ya ´iyd. Kwa sababu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoona kuwa wanawake hawasikii, basi aliwaendea ambapo akawapa mawaidha na akawasisitiza juu ya kutoa swadaqah. Namna hii wanawake wanatakiwa wawe na sehemu katika maudhui ya Khutbah ya ´iyd kwa sababu ya kuhitajia jambo hilo na pia kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mulakhaswsw-ul-Fiqh (01/276)
- Imechapishwa: 29/07/2020
Wanawake wanatakiwa kutolewa nje katika swalah ya ´iyd, jambo ambalo tayari tumeshatangulia kulibainisha. Wanatakiwa kuelekezewa mawaidha maalum ndani ya Khutbah ya ´iyd. Kwa sababu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoona kuwa wanawake hawasikii, basi aliwaendea ambapo akawapa mawaidha na akawasisitiza juu ya kutoa swadaqah. Namna hii wanawake wanatakiwa wawe na sehemu katika maudhui ya Khutbah ya ´iyd kwa sababu ya kuhitajia jambo hilo na pia kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mulakhaswsw-ul-Fiqh (01/276)
Imechapishwa: 29/07/2020
https://firqatunnajia.com/wanawake-wasisahauliwe-katika-maudhui-ya-khutbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)