Swali: Kuna wanawake walioko kwenye bustani mbele ya msikiti wanaswali pamoja na imamu. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haijuzu. Wakumbusheni. Swalah yao si sahihi. Swalah mbele ya imamu si sahihi. Wanatakiwa waswali nyuma ya imamu. Haifai kwao kuswali mbele ya imamu na kusimama katikati ya imamu na Ka´bah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 07/06/2020
Swali: Kuna wanawake walioko kwenye bustani mbele ya msikiti wanaswali pamoja na imamu. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haijuzu. Wakumbusheni. Swalah yao si sahihi. Swalah mbele ya imamu si sahihi. Wanatakiwa waswali nyuma ya imamu. Haifai kwao kuswali mbele ya imamu na kusimama katikati ya imamu na Ka´bah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/wanawake-wanaswali-na-imamu-kwenye-bustani-mbele-ya-msikiti/