Wanawake kupiga dufu katika isiyokuwa harusi

Swali: Baadhi ya wanawake wanapokutana katika isiyokuwa walima au harusi wanapiga dufu.

Jibu: Salama zaidi ni kuacha. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewaruhusu wanawake katika kisa cha vijakazi na siku ya ´iyd na kisa cha Rubay´a.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23850/حكم-ضرب-النساء-الدف-في-غير-عرس
  • Imechapishwa: 19/05/2024