Swali: Je, karamu ya ndoa inapaswa kufanywa wakati wa kufunga ndoa au wakati wa kutangaza kuingia kwa mke?
Jibu: Inapaswa kufanywa wakati wa kuingia. Walima inafanywa pale atakapomwingilia mke.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27021/هل-تكون-الوليمة-عند-عقد-النكاح-او-الدخول
- Imechapishwa: 21/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Ni wajibu kufanya walima kwa ajili ya kutangaza ndoa
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Fanya walima ijapo kondoo mmoja.”[1] Amri inafahamisha kuwa kufanya walima ni lazima? Jibu: Inawezekana. Msingi wa amri ni ulazima. Kilichotangaa kwa wanazuoni ni kwamba inapendeza. Kufanya karamu ya ndoa ni Sunnah na ni kwa lengo la kutangaza ndoa. Aulizwe dalili. Pengine usahihi…
In "Karamu ya ndoa (walima)"
Karamu ya ndoa zaidi ya moja
Swali: Je, inafaa kufanya sherehe nyingi za karamu ya ndoa, kwa njia ya kwamba moja baada ya kukaa naye chemba na nyingine wakati wa kuhama naye katika nyumba moja? Jibu: Hapana. Karamu ya ndoa inakuwa moja. Walima kwa mujibu wa Shari´ah ni moja. Zaidi ya hapo ni israfu.
In "Karamu ya ndoa (walima)"
Ili iwe ni lazima kutikia mwaliko wa walima
Swali: Ili iwe ni wajibu kuitikia mwaliko wa karamu ya ndoa, baadhi ya wanazuoni wameshurutisha mwalikaji awe muislamu. Je, sharti hii ni yenye kuzingatiwa? Jibu: Ndio. Akiwa ni kafiri hana haki yoyote juu yako.
In "Karamu ya ndoa (walima)"