Swali: Je, karamu ya ndoa inapaswa kufanywa wakati wa kufunga ndoa au wakati wa kutangaza kuingia kwa mke?
Jibu: Inapaswa kufanywa wakati wa kuingia. Walima inafanywa pale atakapomwingilia mke.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27021/هل-تكون-الوليمة-عند-عقد-النكاح-او-الدخول
- Imechapishwa: 21/03/2025
Swali: Je, karamu ya ndoa inapaswa kufanywa wakati wa kufunga ndoa au wakati wa kutangaza kuingia kwa mke?
Jibu: Inapaswa kufanywa wakati wa kuingia. Walima inafanywa pale atakapomwingilia mke.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27021/هل-تكون-الوليمة-عند-عقد-النكاح-او-الدخول
Imechapishwa: 21/03/2025
https://firqatunnajia.com/walima-inakuwa-lini/