Swali: Ni ipi maana ya:
قَالَ الَّذِينَ غَلَبُوا عَلَىٰ أَمْرِهِمْ لَنَتَّخِذَنَّ عَلَيْهِم مَّسْجِدًا
“Wakasema wale walioshinda katika shauri lao: “Bila shaka tutajenga msikiti juu yao?”[1]
Jibu: Walifikiri kuwa inafaa na kwamba ni ´ibaadah kutokana na ujinga wao. Imekuja katika Shari´ah ya Kiislamu ya kwamba ni maovu. Hilo ni kutokana na ujinga wao. Sunnah inafahamisha ya kwamba walizungumza kwa ujinga wao.
[1] 18:21
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24582/معنى-قوله-تعالى-لنتخذن-عليهم-مسجدا
- Imechapishwa: 07/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)