Waislamu wawili kunong´onezana na pembeni yao kuna kafiri

Swali: Vipi ikiwa manong´onezo ni kati ya waislamu wawili na aliye pembeni yao sio muislamu?

Jibu: Haijalishi kitu muda wa kuwa yuko pamoja nao katika kikao. Dhambi zinakuwa kubwa zaidi ikiwa sio muislamu kwa sababu anakuwa na dhana inakuwa kubwa kwamba wanamzungumza yeye.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24278/حكم-المناجاة-بين-مسلمين-وبينهم-غير-مسلم
  • Imechapishwa: 26/09/2024