Swali: Katika nchi yangu mahakama hayawaadhibu wachawi. Ni vipi tutaweza kupata haki zetu kutoka kwa watu hawa?
Jibu: Jitengeni nao mbali. Msiwe na lolote na wao ikiwa mnajua kuwa ni wachawi. Jitengeni nao mbali. Wakateni, wakateni na tahadharisheni nao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Katika nchi yangu mahakama hayawaadhibu wachawi. Ni vipi tutaweza kupata haki zetu kutoka kwa watu hawa?
Jibu: Jitengeni nao mbali. Msiwe na lolote na wao ikiwa mnajua kuwa ni wachawi. Jitengeni nao mbali. Wakateni, wakateni na tahadharisheni nao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/wachawi-katika-nchi-yetu/