Swali: Kuhusu kujitenga na Mkusanyiko inakuwa kwa vitendo na maneno au ni kwa vitendo pekee?
Jibu: Ni kwa maneno, vitendo na imani. Ni lazima mtu awe pamoja nao katika imani, maneno na matendo; asijitenge nao wala kuwapinga katika mambo hayo, bali awe miongoni mwa wanaowaunga mkono.
Swali: Je, wendaji kinyume unakuwa katika jambo ambalo kuna maafikiano juu yake?
Jibu: Unakuwa katika haki, ni mamoja iwe ni jambo kuna maafikiano juu yake au sivyo. Kila lililo na dalili ni wajibu kuthibiti juu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31150/كيف-تكون-مفارقة-الجماعة
- Imechapishwa: 09/10/2025
Swali: Kuhusu kujitenga na Mkusanyiko inakuwa kwa vitendo na maneno au ni kwa vitendo pekee?
Jibu: Ni kwa maneno, vitendo na imani. Ni lazima mtu awe pamoja nao katika imani, maneno na matendo; asijitenge nao wala kuwapinga katika mambo hayo, bali awe miongoni mwa wanaowaunga mkono.
Swali: Je, wendaji kinyume unakuwa katika jambo ambalo kuna maafikiano juu yake?
Jibu: Unakuwa katika haki, ni mamoja iwe ni jambo kuna maafikiano juu yake au sivyo. Kila lililo na dalili ni wajibu kuthibiti juu yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31150/كيف-تكون-مفارقة-الجماعة
Imechapishwa: 09/10/2025
https://firqatunnajia.com/vipi-mtu-anajitenga-na-mkusanyiko/