Swali: Je, lililo bora ni kulegeza vifungo vilivyoko kwenye kichwa cha maiti na kuacha vile vilivyo kwenye miguu yake na katikati au vifuguliwe vyote?
Jibu: Vifungo vinavyofungwa kwenye sanda vifunguliwe vyote. Kufanya hivo ndio bora. Sunnah ni kufunguliwa vyote kaburini. Akiwekwa kaburini hufunguliwa vifungo vyote, vya mwanzo na vya mwisho. Hii ndiyo Sunnah. Vifunguliwe na vibaki mahali pake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1021/حكم-حل-عقد-الكفن-عند-وضع-الميت-في-قبره
- Imechapishwa: 24/12/2025
Swali: Je, lililo bora ni kulegeza vifungo vilivyoko kwenye kichwa cha maiti na kuacha vile vilivyo kwenye miguu yake na katikati au vifuguliwe vyote?
Jibu: Vifungo vinavyofungwa kwenye sanda vifunguliwe vyote. Kufanya hivo ndio bora. Sunnah ni kufunguliwa vyote kaburini. Akiwekwa kaburini hufunguliwa vifungo vyote, vya mwanzo na vya mwisho. Hii ndiyo Sunnah. Vifunguliwe na vibaki mahali pake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1021/حكم-حل-عقد-الكفن-عند-وضع-الميت-في-قبره
Imechapishwa: 24/12/2025
https://firqatunnajia.com/vifungo-vya-maiti-anapolazwa-ndani-ya-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket