Swali: Mimi ni katika watu wa misitu kutoka Afrika. Huwalingania watu katika Uislamu lakini sina elimu ya kutosha. Namlingania mtu na kumwambia “Sema: “laa ilaaha illa Allaah” kisha namwacha. Je, mimi nakuwa ni mwenye kupata madhambi kwa hilo?
Jibu: Unapata ujira kwa hili. Mlinganie kwa kiasi cha uwezo wako na elimu yako. Walinganie katika hili na usimwache hivo hivo, mletee makala kadhaa, vitabu kwa lugha yao. Usimwambie tu “Sema: “laa ilaaha illa Allaah” kisha ukamwacha hivo hivo na kwenda zako. Mletee “kijitabu kuhusu Tawhiyd, ´Aqiydah na maana ya laa ilaaha illa Allaah” kwa lugha yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-06.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)