Ni wajibu kwa mtu kushikamana na haki na kutafuta yenye kusapotiwa na Qur-aan na Sunnah na halafu ayatendee kazi. Vilevile atendee kazi waliyohakikisha Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah katika yale yaliyochukuliwa kutoka katika Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/218)
- Imechapishwa: 30/05/2020
Ni wajibu kwa mtu kushikamana na haki na kutafuta yenye kusapotiwa na Qur-aan na Sunnah na halafu ayatendee kazi. Vilevile atendee kazi waliyohakikisha Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah katika yale yaliyochukuliwa kutoka katika Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/218)
Imechapishwa: 30/05/2020
https://firqatunnajia.com/uwajibu-wa-kila-mtu-kuitafuta-haki-na-kuitendea-kazi/