Nia mahali pake ni moyoni. Kuitamka ni Bid´ah. [Baadhi wanasema]:
“Ee Allaah! Hakika mimi nimenuia kuswali Dhuhr Rak´ah nne nyuma ya imamu huyu.”
Haya ni uzushi. Hayana msingi. Wakati wa kutawadha wanasema:
“Ee Allaah! Hakika mimi nimenuia kutawadha kwa ajili ya swalah kadhaa na kadhaa.”
Haikupolewa kutamka nia mwanzoni mwa kila ´ibaadah. Hakuna ´ibaadah yoyote. Kutamka nia ni Bid´ah. Nia mahali pake ni moyoni.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (33) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%2023%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 07/03/2021
Nia mahali pake ni moyoni. Kuitamka ni Bid´ah. [Baadhi wanasema]:
“Ee Allaah! Hakika mimi nimenuia kuswali Dhuhr Rak´ah nne nyuma ya imamu huyu.”
Haya ni uzushi. Hayana msingi. Wakati wa kutawadha wanasema:
“Ee Allaah! Hakika mimi nimenuia kutawadha kwa ajili ya swalah kadhaa na kadhaa.”
Haikupolewa kutamka nia mwanzoni mwa kila ´ibaadah. Hakuna ´ibaadah yoyote. Kutamka nia ni Bid´ah. Nia mahali pake ni moyoni.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (33) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%2023%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 07/03/2021
https://firqatunnajia.com/utamkwaji-wa-nia-zote-ni-bidah/