Swali: Inajuzu kwangu kufungua mgawaha pamoja na kujua ya kwamba ndani ya mgahawa huu wataingia pia wanawake wenye kuvaa vibaya na kutakuwa na mchanganyiko kati ya wanaume na wanawake?
Jibu: Usiwaruhusu. Usiwaache wakaingia mgahawani. Wakataze. Weka ilani inayowakataza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 02/07/2018
Swali: Inajuzu kwangu kufungua mgawaha pamoja na kujua ya kwamba ndani ya mgahawa huu wataingia pia wanawake wenye kuvaa vibaya na kutakuwa na mchanganyiko kati ya wanaume na wanawake?
Jibu: Usiwaruhusu. Usiwaache wakaingia mgahawani. Wakataze. Weka ilani inayowakataza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 02/07/2018
https://firqatunnajia.com/usiwaruhusu-kuingia-kwenye-mgahawa/