Swali: Hapa kwetu wanakufa baadhi ya watu ambao tunajua kuwa hawaswali. Je, tumjuze imamu juu ya jambo hilo kwamba wasiswalie wanapokufa?
Jibu: Hapana. Wewe usimswalie. Usiwaambie watu wasimswalie.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 31/08/2019
Swali: Hapa kwetu wanakufa baadhi ya watu ambao tunajua kuwa hawaswali. Je, tumjuze imamu juu ya jambo hilo kwamba wasiswalie wanapokufa?
Jibu: Hapana. Wewe usimswalie. Usiwaambie watu wasimswalie.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 31/08/2019
https://firqatunnajia.com/usiwaambie-watu-wasimswalie/