Swali: Ikiwa mume anamlingania mke wake katika ´Aqiydah ya ´Ashaa´irah na ameshikilia hilo. Ni kipi kinachompasa mke kwa sababu anachelea ´Aqiydah yake…
Jibu: Kinachompasa mosi ambainishie kuwa ni hilo kosa na kwamba ´Ashaa´irah wako katika makosa. Akikubali ni sawa. Vinginevyo asimuasi katika hilo. Abaki juu ya ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Durr an-Nadhwiyd (01)
- Imechapishwa: 06/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)