Swali: Ambaye anasema:
“Mwenye kumfuturisha mwenye kufunga ana mfano wa ujira wake pasi na kupungua chochote kwenye ujira wa mfungaji.”
kwamba ni lazima ashibe. Nini maoni yako juu ya jambo hili?
Jibu: Hapana, Hadiyth zinajulisha kuwa si lazima kushibisha.
Swali: Je, thawabu zinapatikana bila kushiba?
Jibu: Ndio, hata kama hakushiba.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25189/هل-يلزم-الاشباع-في-اجر-من-فطر-صاىما
- Imechapishwa: 14/02/2025
Swali: Ambaye anasema:
“Mwenye kumfuturisha mwenye kufunga ana mfano wa ujira wake pasi na kupungua chochote kwenye ujira wa mfungaji.”
kwamba ni lazima ashibe. Nini maoni yako juu ya jambo hili?
Jibu: Hapana, Hadiyth zinajulisha kuwa si lazima kushibisha.
Swali: Je, thawabu zinapatikana bila kushiba?
Jibu: Ndio, hata kama hakushiba.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25189/هل-يلزم-الاشباع-في-اجر-من-فطر-صاىما
Imechapishwa: 14/02/2025
https://firqatunnajia.com/unapata-thawabu-zake-hata-kama-hakushiba/