Swali: Serikali yetu ya Ufaransa inataka kushirikiana na Salafiyyuun dhidi ya Takfiyriyyuun ili kuwafichua. Je, inajuzu?
Jibu: Takfiyriyyuun wao wenyewe wanazingatiwa kuwa ni maadui wa Uislamu na waislamu. Kwa sababu wanafanya matendo yenye kuwadhuru waislamu. Inafaa kwa wao kufanya hivo kuwasahilishia, kubainisha fikira zao na kulielezea jambo la wakiwa na uhakika katika jambo lao.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://safeshare.tv/w/ss564b8537d62ef
- Imechapishwa: 06/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket