Swali: Kuna mwanamke alipata hedhi kisha akajisafisha. Baada ya siku mbili damu ikarudi na ikaendelea kumtoka siku hiyo ambapo hakuswali. Je, kuna kinachomlazimu?
Jibu: Ukitwahirika na ukaona alama za kutwahirika, basi usikae. Damu hii ima ni uchafuchafu au umanjano, vitu ambavyo havizingatiwi. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na uchafu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 26/12/2020
Swali: Kuna mwanamke alipata hedhi kisha akajisafisha. Baada ya siku mbili damu ikarudi na ikaendelea kumtoka siku hiyo ambapo hakuswali. Je, kuna kinachomlazimu?
Jibu: Ukitwahirika na ukaona alama za kutwahirika, basi usikae. Damu hii ima ni uchafuchafu au umanjano, vitu ambavyo havizingatiwi. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na uchafu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
Imechapishwa: 26/12/2020
https://firqatunnajia.com/uchafuchafu-na-umanjano-havizingatiwi-midhali-damu-ya-hedhi-imeshakauka-ii/