Salaf (Rahimahumu Allaah) walikuwa wakifanya uadilifu kati ya watoto katika kuwabusu. Kwa msemo mwingine akimbusu mtoto mmoja basi anambusu mwingine na akimchekea mtoto mmoja anamchekea vilevile mwingine. Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) anawapenda wenye kufanya uadilifu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (50) http://binothaimeen.net/content/1140
- Imechapishwa: 16/06/2019
Salaf (Rahimahumu Allaah) walikuwa wakifanya uadilifu kati ya watoto katika kuwabusu. Kwa msemo mwingine akimbusu mtoto mmoja basi anambusu mwingine na akimchekea mtoto mmoja anamchekea vilevile mwingine. Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) anawapenda wenye kufanya uadilifu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (50) http://binothaimeen.net/content/1140
Imechapishwa: 16/06/2019
https://firqatunnajia.com/uadilifu-wa-salaf-kwa-watoto/