Swali: Kuna faida gani ya kujua tofauti ya damu yenye kunyuzurika na damu isiyonuzurika?
Jibu: Damu yenye kunyuzurika ni ile yenye kutoka kwenye mishipa ya pumzi wakati wa kuchinja.
Damu isiyokuwa ya kunyuzurika ni ile yenye kubaki kwenye nyama. Wakati mwingine inatokea unakula nyama na kuna damu iliyobakia. Haina neno. Inajuzu. Sio damu ya kunyuzurika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket