Swali: Je, mwenye kufanya utani na dini tawbah yake haikubaliwi? Ni ipi maana ya maneno Yake (Ta´ala):
لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
“Msitoe udhuru; kwani mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.”[1]
Jibu: Udhahiri wa Aayah ni kwamba tawbah yake haikubaliwi. Kwa ajili hiyo wanachuoni wamesema kuwa haikubaliwi tawbah ya mtu ambaye amemtukana Allaah au Mtume (Swlala Allaahu ´aalyhi wa sallam). Anatakiwa kuuawa. Tawbah yake haikubaliwi.
[1] Tamko la kisa hiki kimepokelewa Ibn Abiy Haatim (10046), Ibn Jariyr katika “Tafsiyr yake” (10/195-196). Ameipokea kwa njia ya Mawsuulah na Mursalah zinazopeana nguvu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (06)
- Imechapishwa: 29/12/2018
Swali: Je, mwenye kufanya utani na dini tawbah yake haikubaliwi? Ni ipi maana ya maneno Yake (Ta´ala):
لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
“Msitoe udhuru; kwani mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.”[1]
Jibu: Udhahiri wa Aayah ni kwamba tawbah yake haikubaliwi. Kwa ajili hiyo wanachuoni wamesema kuwa haikubaliwi tawbah ya mtu ambaye amemtukana Allaah au Mtume (Swlala Allaahu ´aalyhi wa sallam). Anatakiwa kuuawa. Tawbah yake haikubaliwi.
[1] Tamko la kisa hiki kimepokelewa Ibn Abiy Haatim (10046), Ibn Jariyr katika “Tafsiyr yake” (10/195-196). Ameipokea kwa njia ya Mawsuulah na Mursalah zinazopeana nguvu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (06)
Imechapishwa: 29/12/2018
https://firqatunnajia.com/tawbah-ya-mwenye-kufanya-mzaha-na-dini-haikubaliwi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket