Swali: Ni ipi hukumu ya kusafiri kwenda katika nchi ya Kiislamu kwa lengo la kutalii pamoja na kuzingatia kwamba nchi hiyo ina maovu mengi yaliyo waziwazi na hakuna yeyote anayeyakataza?
Jibu: Usende katika maovu. Allaah amekulinda. Kutalii sio lazima. Fanya katika utalii katika mji usiokuwa na maasi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 05/11/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kusafiri kwenda katika nchi ya Kiislamu kwa lengo la kutalii pamoja na kuzingatia kwamba nchi hiyo ina maovu mengi yaliyo waziwazi na hakuna yeyote anayeyakataza?
Jibu: Usende katika maovu. Allaah amekulinda. Kutalii sio lazima. Fanya katika utalii katika mji usiokuwa na maasi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 05/11/2018
https://firqatunnajia.com/talii-katika-mji-usiokuwa-na-maasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket