Swali: Je, talaka inayotolewa kwa njia ya simu inapita?
Jibu: Akiandika ujumbe kwa njia ya simu ni haki na ni yenye kupita. Ameiandika hali ya kuitambua na mwenye kukusudia. Hivyo inapita.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-26-12-1435هـ
- Imechapishwa: 19/06/2022
Swali: Je, talaka inayotolewa kwa njia ya simu inapita?
Jibu: Akiandika ujumbe kwa njia ya simu ni haki na ni yenye kupita. Ameiandika hali ya kuitambua na mwenye kukusudia. Hivyo inapita.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-26-12-1435هـ
Imechapishwa: 19/06/2022
https://firqatunnajia.com/talaka-kwa-ujumbe-wa-simu/