Swali: Ni ipi nasaha yako kwa baadhi ya vijana ambao wanamtukana na huenda wakamkufurisha mtawala kwa kushirikiana na makafiri na wanasema kuwa huku ni kuwasaidia makafiri?
Jibu: Kwa kuwa hawajui ni nini Muwaalaah. Ni wajinga. Haijuzu kwao kuzungumza juu ya hukumu za Kishari´ah ilihali hawajui.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (67) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13854
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi nasaha yako kwa baadhi ya vijana ambao wanamtukana na huenda wakamkufurisha mtawala kwa kushirikiana na makafiri na wanasema kuwa huku ni kuwasaidia makafiri?
Jibu: Kwa kuwa hawajui ni nini Muwaalaah. Ni wajinga. Haijuzu kwao kuzungumza juu ya hukumu za Kishari´ah ilihali hawajui.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (67) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13854
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/takfiyr-za-kijinga-za-vijana-juu-ya-watawala/