Swali 181: Ni ipi hukumu ya Takbiyr za kwenye vipaza sauti siku ya ´iyd?
Jibu: Watu wanatakiwa kuacha hivo. Takbiyr za pamoja ni Bid´ah.
Swali 182: – Vipi mtu akafanya Takbiyr kwenye vipaza sauti peke yake?
Jibu: Hapana vibaya.
Swali: Lakini watu watafata kipaza sauti na kwa hiyo sauti itakuwa ya pamoja?
Jibu: Anawakumbusha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 76
- Imechapishwa: 05/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 181: Ni ipi hukumu ya Takbiyr za kwenye vipaza sauti siku ya ´iyd?
Jibu: Watu wanatakiwa kuacha hivo. Takbiyr za pamoja ni Bid´ah.
Swali 182: – Vipi mtu akafanya Takbiyr kwenye vipaza sauti peke yake?
Jibu: Hapana vibaya.
Swali: Lakini watu watafata kipaza sauti na kwa hiyo sauti itakuwa ya pamoja?
Jibu: Anawakumbusha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 76
Imechapishwa: 05/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/takbiyr-za-pamoja-kwenye-vipaza-sauti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
