Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu chumba cha kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kadhalika kufanya Tabarruk kwa kugusa mimbari yake?
Jibu: Mimbari imeumbwa na ni udongo. Kinachotakiwa kufanyiwa Tabarruk ni kile kilichogusana na mwili wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kama mfano wa nywele na jasho. Haya ndio yanayofanyiwa Tabarruk. Kuhusu yale ambayo hayakugusana na mwili wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hayafanyiwi Tabarruk.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
- Imechapishwa: 03/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket