Swali 295: Vipi taarifa ya vifo kutangazwa kwenye magazeti?

Jibu: Hatufahamu ubaya wowote ndani yake, ni katika mlango wa kutoa taarifa tu.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 108
  • Imechapishwa: 22/05/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´