Swali 199: Je, swalah ya mkusanyiko ni lazima kwa msafiri?
Jibu: Ikiwa ni mmoja, basi ni jambo la lazima. Lakini wakikuwa wawili au zaidi, basi hawalazimiki kuitikia adhaana, kwa sababu adhaana ni wito kwa wakazi.
200 – Nikamwambia Shaykh wetu: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Je, unasikia adhaana?”
Si inamkusanya mkazi na msafiri?
Jibu: Hapana. Siyo yenye kuenea.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 86
- Imechapishwa: 19/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)