Swali: Ni kawaida katika kazi yake kutoa harufu mbaya kama harufu ya samaki. Je, anapewa udhuru wa kuacha swalah ya mkusanyiko kama mlinzi au afanye nini?
Jibu: Ndio, ikiwa anawaudhi watu kwa haarufu yake mbaya. Asiwali pamoja na watu mpaka baada ya kujisafisha.
Swali: Nyakati za swalah zinamjia akiwa yuko kazini na inamtoka harufu mbaya?
Jibu: Akiwa na uwezo wa kuiondosha na kuhudhuria mkusanyiko, hapo itakuwa ni wajibu kwake.
Swali: Asipoweza?
Jibu: Anakuwa kama mfano wa mla kitunguu saumu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23793/حكم-الجماعة-لمن-راىحته-كريهة-بسبب-مهنته
- Imechapishwa: 04/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)